sw_tn/isa/56/06.md

533 B

wanaojiunga kwa Yahwe

Hii ina maana ya wageni ambao wamejiunga na watu wa Yahwe.

wanaolipenda jina la Yahwe

"jina" linawakilisha tabia na utu wa Yahwe. "wanaompenda Yahwe"

mlima mtakatifu

"Mlima mtakatifu" ni Mlima Sayuni, katika Yerusalemu. "katika mlima mtakatifu wote wa Yahwe"

zitapokelewa juu ya madhabahu yangu

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Nitapokea juu ya madhabahu yangu"

nyumba yangu itaitwa nyumba ya maombi

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "nyumba yangu itakuwa nyumba ya maombi"