sw_tn/isa/52/15.md

812 B

Maelezo ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza juu ya mtumishii wake.

mtumishi wangu atanyunyizia mataifa mengi

Mtumishi kusababisha watu wa mataifa kukubaliika kwa Yahwe inazungumziwa kana kwamba mtumishi alikuwa kuhani anayenyunyizia damu ya sadaka kufanya mtu au kitu kukubalika kwa Yahwe.

atanyunyizia

Neno la Kiebrania lilitafsiriwa "kunyunyizia" hapa linaweza kutafsiriwa kama "mshangao" au "shtusha", ambavyo baadhi ya tafsiri za Biblia hufanya.

mataifa mengi

Hapa "mataifa" yanawakilisha watu wa mataifa.

wafalme watafunga midomo yao

Msemo "kufunga midomo yao" ni lahaja. "wafalme wataacha kuzungumza" au "wafalme watakaa kimya"

kile ambacho hawakuambiwa

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "kile ambacho hakuna mtu alichowaambia" au "kitu ambacho hakuna mtu alichowaambia"