forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
812 B
Markdown
24 lines
812 B
Markdown
|
# Maelezo ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kuzungumza juu ya mtumishii wake.
|
||
|
|
||
|
# mtumishi wangu atanyunyizia mataifa mengi
|
||
|
|
||
|
Mtumishi kusababisha watu wa mataifa kukubaliika kwa Yahwe inazungumziwa kana kwamba mtumishi alikuwa kuhani anayenyunyizia damu ya sadaka kufanya mtu au kitu kukubalika kwa Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# atanyunyizia
|
||
|
|
||
|
Neno la Kiebrania lilitafsiriwa "kunyunyizia" hapa linaweza kutafsiriwa kama "mshangao" au "shtusha", ambavyo baadhi ya tafsiri za Biblia hufanya.
|
||
|
|
||
|
# mataifa mengi
|
||
|
|
||
|
Hapa "mataifa" yanawakilisha watu wa mataifa.
|
||
|
|
||
|
# wafalme watafunga midomo yao
|
||
|
|
||
|
Msemo "kufunga midomo yao" ni lahaja. "wafalme wataacha kuzungumza" au "wafalme watakaa kimya"
|
||
|
|
||
|
# kile ambacho hawakuambiwa
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "kile ambacho hakuna mtu alichowaambia" au "kitu ambacho hakuna mtu alichowaambia"
|