sw_tn/isa/48/06.md

265 B

Maelezo ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.

hautakiri kuwa kile nilichosema ni ukweli?

Yahwe anatumia swali kukaripia watu wa Israeli kwa kutokiri kile wanachopaswa kujua ni ukweli. "wewe ni kaidi na hautakiri kile nilichosema ni kweli"