forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
647 B
Markdown
20 lines
647 B
Markdown
# Kauli Unganishi
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kuzungumza na Babeli kuhusu anguko lake kana kwamba alikuwa malkia ambaye ameaibishwa.
|
|
|
|
# unasema moyoni mwako
|
|
|
|
Hapa neno "moyoni" lina maana ya utu wa ndani. "unasema kwako mwenyewe"
|
|
|
|
# Maafa yatakuzidi
|
|
|
|
Yahwe anazungumzia balaa kana kwamba ilikuwa mtu ambaye anakamata Babeli. "Utapitia maafa"
|
|
|
|
# Uharibifu utaanguka juu yako
|
|
|
|
Yahwe anazungumzia Babeli kuharibiwa kana kwamba uharibifu ulikuwa kitu ambacho huanguka juu ya mji. "Utapitia uharibifu" au "Wengine watakuangamiza"
|
|
|
|
# Janga litakupiga
|
|
|
|
Yahwe anazungumzia Babeli kupitia janga kana kwamba janga lilikuwa mtu ambaye anapiga Babeli. "Utapitia janga"
|