sw_tn/isa/47/10.md

647 B

Kauli Unganishi

Yahwe anaendelea kuzungumza na Babeli kuhusu anguko lake kana kwamba alikuwa malkia ambaye ameaibishwa.

unasema moyoni mwako

Hapa neno "moyoni" lina maana ya utu wa ndani. "unasema kwako mwenyewe"

Maafa yatakuzidi

Yahwe anazungumzia balaa kana kwamba ilikuwa mtu ambaye anakamata Babeli. "Utapitia maafa"

Uharibifu utaanguka juu yako

Yahwe anazungumzia Babeli kuharibiwa kana kwamba uharibifu ulikuwa kitu ambacho huanguka juu ya mji. "Utapitia uharibifu" au "Wengine watakuangamiza"

Janga litakupiga

Yahwe anazungumzia Babeli kupitia janga kana kwamba janga lilikuwa mtu ambaye anapiga Babeli. "Utapitia janga"