forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
598 B
Markdown
20 lines
598 B
Markdown
# Taarifa ya Jumla
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kuzungumza na Kosheri.
|
|
|
|
# na kusawazisha milima
|
|
|
|
Yahwe anazungumza kuondoa vizuizi ambavyo vinaweza kukawiza mafanikio ya Koreshi kana kwamba ilikuwa kusawazisha milima mbele yake.
|
|
|
|
# milima
|
|
|
|
Neno la Kiebrania linalotumika katika maandishi ni adimu na maana haileweki. Baadhi ya tafsiri zina "sehemu za kukwaruzakwaruza" au "sehemu zilizopinda".
|
|
|
|
# nguzo zao za chuma
|
|
|
|
Hii ina maana ya nguzo za chuma katika malango ya shaba.
|
|
|
|
# hazina za giza
|
|
|
|
Hapa "giza" ina maana ya sehemu ambazo ni za siri. "hazina katika sehemu za giza" au "hazina katika sehemu za siri"
|