forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
359 B
Markdown
12 lines
359 B
Markdown
# kwa maana macho yao ni vipofu na hayawezi kuona
|
|
|
|
Yahwe anazungumzia watu ambao hawawezi kuelewa upumbavu wa kuabudu sanamu kana kwamba walikuwa vipofu.
|
|
|
|
# kwa maana macho yao ni vipofu
|
|
|
|
Hapa "macho yao" yanawakiilisha mtu mzima. "kwa maana ni vipofu"
|
|
|
|
# mioyo yao haiwezi kutambua
|
|
|
|
Hapa neno "mioyo" inawakilisha akili na mawazo ya watu. "hawawezi kuelewa"
|