forked from WA-Catalog/sw_tn
359 B
359 B
kwa maana macho yao ni vipofu na hayawezi kuona
Yahwe anazungumzia watu ambao hawawezi kuelewa upumbavu wa kuabudu sanamu kana kwamba walikuwa vipofu.
kwa maana macho yao ni vipofu
Hapa "macho yao" yanawakiilisha mtu mzima. "kwa maana ni vipofu"
mioyo yao haiwezi kutambua
Hapa neno "mioyo" inawakilisha akili na mawazo ya watu. "hawawezi kuelewa"