sw_tn/isa/44/18.md

359 B

kwa maana macho yao ni vipofu na hayawezi kuona

Yahwe anazungumzia watu ambao hawawezi kuelewa upumbavu wa kuabudu sanamu kana kwamba walikuwa vipofu.

kwa maana macho yao ni vipofu

Hapa "macho yao" yanawakiilisha mtu mzima. "kwa maana ni vipofu"

mioyo yao haiwezi kutambua

Hapa neno "mioyo" inawakilisha akili na mawazo ya watu. "hawawezi kuelewa"