sw_tn/isa/44/07.md

254 B

Taarifa ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza

Nani kama mimi? Na atangaze

Yahwe anatumia swali hili la balagha kusisitiza ya kwamba hakuna mtu kama yeye. Swali hili linaweza kutafsiriwa kama kauli. "kama yeyote anafikiri ni kama mimi, na atangaze"