sw_tn/isa/43/20.md

232 B

wanyama pori wa mashamba wataniinua mimi, mbweha na mbuni

Hapa wanyama wanamheshimu Yahwe kana kwamba walikuwa watu.

mbweha na mbuni

Hawa ni mifano ya aina ya wanyama ambao watamheshimu Yahwe. "mbweha na mbuni wataniheshimu"