sw_tn/isa/42/17.md

278 B

Taarifa ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza

Watageuzwa; watafedheheshwa kabisa

Kuwakataa wale ambao huabudu sanamu inazungumziwa kana kwamba ni kuwalazimisha kugeuka na kuelekea upande mwingine. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Nitawakataa na kuwatia aibu"