sw_tn/isa/42/12.md

470 B

Taarifa ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza.

Waache watoe utukufu

Hapa "waache" ina maana ya watu katika nchi za pwani.

Yahwe atatoka nje kama hodari; kama mwanamume wa vita

Yahwe analinganishwa na hodari ambaye yupo tayari kuwashinda watu wa adui zake.

atamwamsha ari yake

Hapa "ari" ina maana ya uchu ambao hodari hupitia anapokaribia kupigana vita. Yahwe kuchangamsha ari yake inazungumziwa kana kwamba aliamsha kama upepo unapoamsha mawimbi ya maji.