forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
470 B
Markdown
16 lines
470 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kuzungumza.
|
||
|
|
||
|
# Waache watoe utukufu
|
||
|
|
||
|
Hapa "waache" ina maana ya watu katika nchi za pwani.
|
||
|
|
||
|
# Yahwe atatoka nje kama hodari; kama mwanamume wa vita
|
||
|
|
||
|
Yahwe analinganishwa na hodari ambaye yupo tayari kuwashinda watu wa adui zake.
|
||
|
|
||
|
# atamwamsha ari yake
|
||
|
|
||
|
Hapa "ari" ina maana ya uchu ambao hodari hupitia anapokaribia kupigana vita. Yahwe kuchangamsha ari yake inazungumziwa kana kwamba aliamsha kama upepo unapoamsha mawimbi ya maji.
|