sw_tn/isa/42/10.md

450 B

Taarifa ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza

bahari, na vyote vilivyomo, nchi za pwani, na wale wanaoishi pale

"na viumbe wote ambao huishi katika bahari, na wale wote wanaoishi katika nchi za pwani"

Acha jangwa na miji ipaze sauti

Hii ina maana ya watu wanaoishi katika jangwa na miji.

Kedari

Hili ni eneo kule Uarabuni. Kedari inawakilisha idadi ya watu wa Kedari. "ya watu wa Kedari"

Sela

wakazi wa Sela - Sela ni mji wa Edomu.