forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
424 B
Markdown
16 lines
424 B
Markdown
# Taarfa ya Jumla
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.
|
|
|
|
# wataona haya na kuaibika, wote ambao walikuwa na hasira juu yako
|
|
|
|
"wote ambao walikuwa na hasira na wewe watapata haya na kuaibika"
|
|
|
|
# wataona haya na kuaibika
|
|
|
|
Maneno haya mawili yana maana moja na husisitiza ukuu wa aibu yao.
|
|
|
|
# watakuwa si kitu na kuangamia, wale wanaopingana na wewe
|
|
|
|
"wale ambao wanapingana na wewe watakuwa si kitu na wataangamia"
|