sw_tn/isa/41/11.md

424 B

Taarfa ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Israeli.

wataona haya na kuaibika, wote ambao walikuwa na hasira juu yako

"wote ambao walikuwa na hasira na wewe watapata haya na kuaibika"

wataona haya na kuaibika

Maneno haya mawili yana maana moja na husisitiza ukuu wa aibu yao.

watakuwa si kitu na kuangamia, wale wanaopingana na wewe

"wale ambao wanapingana na wewe watakuwa si kitu na wataangamia"