sw_tn/isa/40/11.md

215 B

Atalisha kundi lake kama mchungaji

Mwandishi anazungumzia watu wa Yahwe kana kwamba walikuwa kondoo na juu ya Yahwe kana kwamba alikuwa mchungaji wao. "Atawatunza watu wake kama mchungaji anavyolisha kundi lake"