forked from WA-Catalog/sw_tn
4 lines
215 B
Markdown
4 lines
215 B
Markdown
|
# Atalisha kundi lake kama mchungaji
|
||
|
|
||
|
Mwandishi anazungumzia watu wa Yahwe kana kwamba walikuwa kondoo na juu ya Yahwe kana kwamba alikuwa mchungaji wao. "Atawatunza watu wake kama mchungaji anavyolisha kundi lake"
|