sw_tn/isa/39/05.md

392 B

Yahwe wa majeshi

Hili ni jina la Mungu wa watu wa Israeli.

neno

"ujumbe"

Tazama

Neno hili linatumika hapa kama lahaja kuvuta usikivu wa Hezekia kwa kile kinachofuatwa kusemwa. "Sikilizeni"

ambapo kila kitu katika kasri yako ... kitabebwa mpaka Babeli

Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya chanya. "pale ambapo jeshi la adui litachukua kila kitu katika kasri yako ... kurudi Babeli"