sw_tn/isa/38/18.md

576 B

Maelezo ya Jumla

Hezekia anaendelea maombi yake ya maandishi.

Kwa maana kuzimu haikushukuru wewe; kifo haikusifu wewe

Hapa "kuzimu" na "kifo" ina maana ya "watu waliokufa". "Kwa wale walio Kuzimu hawakushukuru; watu waliokufa hawakusifu"

wale waendao chini shimoni

"wale ambao hushuka katika kaburi"

hawatumaini katika uaminifu wako

"usiwe na matumaini katika uaminifu wako". Hapa "wako" ni umoja na ina maana ya Yahwe.

Mtu anayeishi, mtu anayeishi

Hezekia anarudia msemo huu kusisitiza ya kuwa mtu hai pekee, na sio mfu, anaweza kutoa shukurani kwa Yahwe.