sw_tn/isa/38/18.md

20 lines
576 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Maelezo ya Jumla
Hezekia anaendelea maombi yake ya maandishi.
# Kwa maana kuzimu haikushukuru wewe; kifo haikusifu wewe
Hapa "kuzimu" na "kifo" ina maana ya "watu waliokufa". "Kwa wale walio Kuzimu hawakushukuru; watu waliokufa hawakusifu"
# wale waendao chini shimoni
"wale ambao hushuka katika kaburi"
# hawatumaini katika uaminifu wako
"usiwe na matumaini katika uaminifu wako". Hapa "wako" ni umoja na ina maana ya Yahwe.
# Mtu anayeishi, mtu anayeishi
Hezekia anarudia msemo huu kusisitiza ya kuwa mtu hai pekee, na sio mfu, anaweza kutoa shukurani kwa Yahwe.