sw_tn/isa/38/07.md

12 lines
266 B
Markdown

# Maelezo ya Jumla
Yahwe anaendelea kuzungumza na Hezekia.
# Tazama
Hii ni lahaja. Yahwe anatumia neno hili kuvuta wasikilizaji kwa kile kinachosemwa baadaye.
# ngazi za Ahazi
Ngazi hizi zina maana ya njia hii kwa sababu zilijengwa wakati Ahazi alikuwa mfalme.