|
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kuzungumza na Hezekia.
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
Hii ni lahaja. Yahwe anatumia neno hili kuvuta wasikilizaji kwa kile kinachosemwa baadaye.
|
|
|
|
# ngazi za Ahazi
|
|
|
|
Ngazi hizi zina maana ya njia hii kwa sababu zilijengwa wakati Ahazi alikuwa mfalme.
|