sw_tn/isa/38/07.md

266 B

Maelezo ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza na Hezekia.

Tazama

Hii ni lahaja. Yahwe anatumia neno hili kuvuta wasikilizaji kwa kile kinachosemwa baadaye.

ngazi za Ahazi

Ngazi hizi zina maana ya njia hii kwa sababu zilijengwa wakati Ahazi alikuwa mfalme.