Maelezo ya Jumla
Yahwe anaendelea kuzungumza na Hezekia.
Tazama
Hii ni lahaja. Yahwe anatumia neno hili kuvuta wasikilizaji kwa kile kinachosemwa baadaye.
ngazi za Ahazi
Ngazi hizi zina maana ya njia hii kwa sababu zilijengwa wakati Ahazi alikuwa mfalme.