forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
444 B
Markdown
16 lines
444 B
Markdown
# neno la Yahwe likaja
|
|
|
|
Hii ni lahaja ambayo inatumiwa kutambulisha kitu ambacho Mungu alimwambia manabii wake au watu wake. "Yahwe alizungumza ujumbe huu" au "Yahwe alizungumza maneno haya"
|
|
|
|
# Tazama
|
|
|
|
Hii ni lahaja. Inatumika kuuliza wasikilizaji kuzingatia kwa makini kwa kile kinachosemwa. "Sikiliza"
|
|
|
|
# miaka kumi na tano
|
|
|
|
"miaka 15"
|
|
|
|
# mkono wa mfalme wa Ashuru
|
|
|
|
Hapa "mkono" wa mfalme una maana ya nguvu yake. "nguvu ya mflame wa Ashuru"
|