sw_tn/isa/38/04.md

444 B

neno la Yahwe likaja

Hii ni lahaja ambayo inatumiwa kutambulisha kitu ambacho Mungu alimwambia manabii wake au watu wake. "Yahwe alizungumza ujumbe huu" au "Yahwe alizungumza maneno haya"

Tazama

Hii ni lahaja. Inatumika kuuliza wasikilizaji kuzingatia kwa makini kwa kile kinachosemwa. "Sikiliza"

miaka kumi na tano

"miaka 15"

mkono wa mfalme wa Ashuru

Hapa "mkono" wa mfalme una maana ya nguvu yake. "nguvu ya mflame wa Ashuru"