sw_tn/isa/37/17.md

521 B

Taarifa ya Jumla

Hezekia anaendelea kuomba kwa Yahwe.

ambaye alimtuma

Hezekia anamaanisha barua kutoka kwa Senakeribu. Maana ya hii inaweza kuwekwa wazi. "katika ujumbe aliotuma"

Geuza sikio lako

"Tega sikio lako" au "Geuza kichwa chako". Hii ina maana kugeuza kichwa chako ili kwamba uweze kusikia jambo vizuri.

Senakeribu

Hili ni jina la mfalme wa Ashuru.

mataifa yote na nchi zao

Huku ni kukuza. Wafalme walikuwa wameangamiza nchi nyingi za karibu, lakini sio nchi zote. "mataifa mengi na nchi zao"