forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
521 B
Markdown
20 lines
521 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Hezekia anaendelea kuomba kwa Yahwe.
|
||
|
|
||
|
# ambaye alimtuma
|
||
|
|
||
|
Hezekia anamaanisha barua kutoka kwa Senakeribu. Maana ya hii inaweza kuwekwa wazi. "katika ujumbe aliotuma"
|
||
|
|
||
|
# Geuza sikio lako
|
||
|
|
||
|
"Tega sikio lako" au "Geuza kichwa chako". Hii ina maana kugeuza kichwa chako ili kwamba uweze kusikia jambo vizuri.
|
||
|
|
||
|
# Senakeribu
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mfalme wa Ashuru.
|
||
|
|
||
|
# mataifa yote na nchi zao
|
||
|
|
||
|
Huku ni kukuza. Wafalme walikuwa wameangamiza nchi nyingi za karibu, lakini sio nchi zote. "mataifa mengi na nchi zao"
|