sw_tn/isa/30/03.md

917 B

Taarifa ya Jumla

Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Yuda.

Kwa hiyo ulinzi wa Farao utakuwa aibu yako, na kimbilio katika kivuli cha Misri, fedheha yako

Hii inaweza kuandikwa ili kwamba nomino dhahania "ulinzi", "aibu", na "fedheha" zinaelezwa kama vivumishi au vitenzi. "Kwa hiiyo utaibika kwa sabbu ulimtegemea Farao kukulinda; utafedheheshwa kwa sababu uliwategemea Wamisri kukuweka salama"

kimbilio katika kivuli cha Misri

Ulinzi wa Misri kutoka kwa jeshi la adui inazungumziwa kana kwamba ulikuwa kivuli ambacho humlinda mtu kutoka na joto linalowaka la jua.

wakuu

Hapa "wakuu" ina maana ya afisa au balozi, sio lazima wana wa mfalme.

wao ... wata ... wao

Maneno haya yana maana ya watu wa Yuda.

Soani ... Hanesi

Hii ilikuwa miji katika sehemu ya kaskazini ya Misri.

wamekuja Hanesi

Hapa "kuja" inaweza kuandikwa kama "kuondoka"

kwa sababu ya watu

"kwa sababu ya watu wa Misri"