forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
917 B
Markdown
32 lines
917 B
Markdown
|
# Taarifa ya Jumla
|
||
|
|
||
|
Yahwe anaendelea kuzungumza na watu wa Yuda.
|
||
|
|
||
|
# Kwa hiyo ulinzi wa Farao utakuwa aibu yako, na kimbilio katika kivuli cha Misri, fedheha yako
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuandikwa ili kwamba nomino dhahania "ulinzi", "aibu", na "fedheha" zinaelezwa kama vivumishi au vitenzi. "Kwa hiiyo utaibika kwa sabbu ulimtegemea Farao kukulinda; utafedheheshwa kwa sababu uliwategemea Wamisri kukuweka salama"
|
||
|
|
||
|
# kimbilio katika kivuli cha Misri
|
||
|
|
||
|
Ulinzi wa Misri kutoka kwa jeshi la adui inazungumziwa kana kwamba ulikuwa kivuli ambacho humlinda mtu kutoka na joto linalowaka la jua.
|
||
|
|
||
|
# wakuu
|
||
|
|
||
|
Hapa "wakuu" ina maana ya afisa au balozi, sio lazima wana wa mfalme.
|
||
|
|
||
|
# wao ... wata ... wao
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yana maana ya watu wa Yuda.
|
||
|
|
||
|
# Soani ... Hanesi
|
||
|
|
||
|
Hii ilikuwa miji katika sehemu ya kaskazini ya Misri.
|
||
|
|
||
|
# wamekuja Hanesi
|
||
|
|
||
|
Hapa "kuja" inaweza kuandikwa kama "kuondoka"
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu ya watu
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu ya watu wa Misri"
|