sw_tn/isa/26/13.md

322 B

lakini tunasifu jina lako pekee

Hapa "jina" inawakilisha nafsi ya Mungu. "lakini tunakusifu wewe peke yako"

hawatainuka

"hawatarudi katika uhai"

kufanya kila kumbukumbu yao kutoweka

Yahwe kusababisha watu kutokumbuka wale aliowaangamiza inazungumziwa kana kwamba Yahwe alifanya kumbukumbu yao kutoweka au kufa.