forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
322 B
Markdown
12 lines
322 B
Markdown
|
# lakini tunasifu jina lako pekee
|
||
|
|
||
|
Hapa "jina" inawakilisha nafsi ya Mungu. "lakini tunakusifu wewe peke yako"
|
||
|
|
||
|
# hawatainuka
|
||
|
|
||
|
"hawatarudi katika uhai"
|
||
|
|
||
|
# kufanya kila kumbukumbu yao kutoweka
|
||
|
|
||
|
Yahwe kusababisha watu kutokumbuka wale aliowaangamiza inazungumziwa kana kwamba Yahwe alifanya kumbukumbu yao kutoweka au kufa.
|