sw_tn/isa/24/01.md

728 B

kufanya dunia kuwa tupu

"kufanya dunia kuwa na ukiwa" au "kuangamiza kila kitu juu ya dunia"

Itakuja kuwa ya kwamba

Msemo huu unaweka alama kwa tukio muhimu.

kama itakavyokuwa ... ndivyo itakuwa

Kile Yahwe atakachofanya hakielezwi hapa, lakini kinaeleweka. Hiii inaonyesha ya kwamba Mungu atawafanya watu kw njai moja. "kama Yahwe anavyotawanya ... kw hiyo atatawanya"

kuhani ... mtoaji wa riba

Katika 24:2 Isaya anaorodhesha madaraja ya watu. Yanaweza kuwekwa kama nomino za wingi. "makuhani ... wale ambao hutoa riba"

mpokeaji wa riba

"yule ambaye hudaiwa fedha". Neno "riba" lina maana ya fedha ya ziada ambayo mtu anatakiwa kulipa ili aweze kukopa fedha.

mtoaji wa riba

"yule ambaye anadaiwa fedha"