forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
617 B
Markdown
24 lines
617 B
Markdown
# Tamko
|
|
|
|
"Hivi ndivyo Yahwe anavyotamka" au "Huu ni ujumbe kutoka kwa Yahwe"
|
|
|
|
# kuhusu Duma
|
|
|
|
Hili ni jina lingine kwa ajili ya Edomu. Hapa "Duma" inawakilisha watu wanaoishi kule. "kuhusu watu wa Duma" au "kuhusu watu wa Edomu"
|
|
|
|
# Mtu ananiita kwangu
|
|
|
|
Hapa "ananiita" ina maana ya Isaya.
|
|
|
|
# Seiri
|
|
|
|
Hili ni jina la milima ya magharibi mwa Edomu.
|
|
|
|
# Mlinzi, nini kimebaki usiku? Mlinzi, nini kimebaki usiku?
|
|
|
|
Hii inarudiwa kusisitiza ya kwamba mtu yule anayeuliza swali ana wasiwasi na woga.
|
|
|
|
# kama unataka kuuliza, basi uliza; na urudi tena
|
|
|
|
"Niulize sasa kile unachotaka kujua, lakini pia uje baadaye uniulize tena"
|