forked from WA-Catalog/sw_tn
617 B
617 B
Tamko
"Hivi ndivyo Yahwe anavyotamka" au "Huu ni ujumbe kutoka kwa Yahwe"
kuhusu Duma
Hili ni jina lingine kwa ajili ya Edomu. Hapa "Duma" inawakilisha watu wanaoishi kule. "kuhusu watu wa Duma" au "kuhusu watu wa Edomu"
Mtu ananiita kwangu
Hapa "ananiita" ina maana ya Isaya.
Seiri
Hili ni jina la milima ya magharibi mwa Edomu.
Mlinzi, nini kimebaki usiku? Mlinzi, nini kimebaki usiku?
Hii inarudiwa kusisitiza ya kwamba mtu yule anayeuliza swali ana wasiwasi na woga.
kama unataka kuuliza, basi uliza; na urudi tena
"Niulize sasa kile unachotaka kujua, lakini pia uje baadaye uniulize tena"