sw_tn/isa/21/10.md

306 B

Wale niliowapukuta na kuwapembua, watoto wa sakafu yangu ya kupukuchua

Watu wa Israeli kuteseka kwa sababu ya Wababeli inazungumziwa kana kwamba watu walikuwa nafaka ambayo ilipukukutwa na kupembuliwa.

niliowapukuta

neno "yangu" ina maana ya Isaya.

Yahwe wa majeshi

Yahwe wa majeshi ya Israeli.