sw_tn/isa/20/01.md

369 B

jemadari yule

Jina la kamanda mkuu wa majeshi ya Ashuru

Sargoni

jina la mfalme wa Ashuru

alipigana dhidi ya Ashdodi na kuuchukua

Ashdodi ina maana ya jeshi la Ashdodi. "alipigana dhidi ya jeshi la Ashdodi na kulishinda"

kutembea uchi na peku

"kutembea tembea bila nguo na bila ndara". Hapa neno "uchi" huenda ina maana ya kuvaa nguo zake za ndani pekee.