sw_tn/isa/19/05.md

367 B

Maji ya bahari yatakauka, na mto utakauka na kuwa tupu

Wamisri walimaanisha Mto Nile kama "bahari". Misemo hii miwiwli ina maana. "Mto Nile utakauka kabisa"

itakuwa chafu

"kutoa harufu mbaya" au "kunuka"

itafifia

"kuwa chini"

matete na mianzi itasinyaa

"Matete" na "mianzi" ina maana ya aina mbili ya mimea ya maji. "mimea katika mto itakufa na kuoza"