sw_tn/isa/19/03.md

853 B

Roho ya Misri itadhoofishwa kutoka kwa ndani. Nitaangamiza ushauri wake

Taifa la Misri linazungumziwa hapa kana kwamba lilikuwa mtu.

Roho ya Misri itadhoofishwa kutoka kwa ndani

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Nitadhoofisha roho ya Misri kwa ndani"

Nitaangamiza ushauri wake

Hii inaweza kuandikwa ili kwamba nomino dhahania "ushauri" inaelezwa kama kitenzi "shauri". "Nitawachangnaya wale amabo wanamshauri mfalme"

ingawa

"ingawa" hata kama"

waganga ... wachawi

Hawa ni watu ambao wanadai kuzungumza na wale ambao wamekufa.

Nitawapa Wamisri katika mikono ya bwana mkali

Hapa "mkono" ina maana ya nguvu na tawala. "Nitatoa Wamisri katika utawala wa bwana mkali"

hili ni tamko la Bwana , Yahwe wa majeshi

Nomino dhahania "tamko" linaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "hivi ndivyo Bwana, Yahwe wa majeshi, anavyosema"