forked from WA-Catalog/sw_tn
853 B
853 B
Roho ya Misri itadhoofishwa kutoka kwa ndani. Nitaangamiza ushauri wake
Taifa la Misri linazungumziwa hapa kana kwamba lilikuwa mtu.
Roho ya Misri itadhoofishwa kutoka kwa ndani
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Nitadhoofisha roho ya Misri kwa ndani"
Nitaangamiza ushauri wake
Hii inaweza kuandikwa ili kwamba nomino dhahania "ushauri" inaelezwa kama kitenzi "shauri". "Nitawachangnaya wale amabo wanamshauri mfalme"
ingawa
"ingawa" hata kama"
waganga ... wachawi
Hawa ni watu ambao wanadai kuzungumza na wale ambao wamekufa.
Nitawapa Wamisri katika mikono ya bwana mkali
Hapa "mkono" ina maana ya nguvu na tawala. "Nitatoa Wamisri katika utawala wa bwana mkali"
hili ni tamko la Bwana , Yahwe wa majeshi
Nomino dhahania "tamko" linaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "hivi ndivyo Bwana, Yahwe wa majeshi, anavyosema"