forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
853 B
Markdown
28 lines
853 B
Markdown
|
# Roho ya Misri itadhoofishwa kutoka kwa ndani. Nitaangamiza ushauri wake
|
||
|
|
||
|
Taifa la Misri linazungumziwa hapa kana kwamba lilikuwa mtu.
|
||
|
|
||
|
# Roho ya Misri itadhoofishwa kutoka kwa ndani
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Nitadhoofisha roho ya Misri kwa ndani"
|
||
|
|
||
|
# Nitaangamiza ushauri wake
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kuandikwa ili kwamba nomino dhahania "ushauri" inaelezwa kama kitenzi "shauri". "Nitawachangnaya wale amabo wanamshauri mfalme"
|
||
|
|
||
|
# ingawa
|
||
|
|
||
|
"ingawa" hata kama"
|
||
|
|
||
|
# waganga ... wachawi
|
||
|
|
||
|
Hawa ni watu ambao wanadai kuzungumza na wale ambao wamekufa.
|
||
|
|
||
|
# Nitawapa Wamisri katika mikono ya bwana mkali
|
||
|
|
||
|
Hapa "mkono" ina maana ya nguvu na tawala. "Nitatoa Wamisri katika utawala wa bwana mkali"
|
||
|
|
||
|
# hili ni tamko la Bwana , Yahwe wa majeshi
|
||
|
|
||
|
Nomino dhahania "tamko" linaweza kutafsiriwa kama kitenzi. "hivi ndivyo Bwana, Yahwe wa majeshi, anavyosema"
|