forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
545 B
Markdown
16 lines
545 B
Markdown
# Itakuja kuwa
|
|
|
|
Msemo huu unatumika hapa kuweka alama ya tukio muhimu ambalo litatokea.
|
|
|
|
# utukufu wa yakobo utakuwa mwembamba, na unene wa mwili wake utadhoofika
|
|
|
|
Hapa "Yakobo" ina maana ya ufalme wa Israeli. Israeli hatakuwa na utukufu tena. Ila atakuwa dhaifu na maskini.
|
|
|
|
# itakuwa kama pale ambapo wavunaji walikusanya nafaka iliyosimama ... katika bonde la Warefai
|
|
|
|
Hakutakuwa na kitu kinachobaki katika nchi baada ya Mungu kuadhibu watu wa Israeli.
|
|
|
|
# bonde la Warefai
|
|
|
|
Hili ni bonde ambapo watu kawaida kuotesha na kuvuna chakula kingi.
|