sw_tn/isa/17/04.md

545 B

Itakuja kuwa

Msemo huu unatumika hapa kuweka alama ya tukio muhimu ambalo litatokea.

utukufu wa yakobo utakuwa mwembamba, na unene wa mwili wake utadhoofika

Hapa "Yakobo" ina maana ya ufalme wa Israeli. Israeli hatakuwa na utukufu tena. Ila atakuwa dhaifu na maskini.

itakuwa kama pale ambapo wavunaji walikusanya nafaka iliyosimama ... katika bonde la Warefai

Hakutakuwa na kitu kinachobaki katika nchi baada ya Mungu kuadhibu watu wa Israeli.

bonde la Warefai

Hili ni bonde ambapo watu kawaida kuotesha na kuvuna chakula kingi.