sw_tn/isa/16/05.md

523 B

ufalme utaimarishwa katika agano la uaminifu

Hapa "ufalme" una maana ya nguvu ya kutawala kama mfalme. Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Yahwe atakuwa mwaminifu kwa agano na atamteua mfalme"

na mmoja kutoka katika hema la Daudi atakaa pale kwa uaminifu

Hapa "hema la Daudi" inawakilisha familia ya Daudi, ikijumlisha uzao wake. Kukaa juu ya kiti cha enzi inawakilihsa kutawala. "na uzao wa Daudi utatawala kwa uaminifu"

atakapotafuta haki

Kutafuta haki inawakilisha kutaka kufanya kile ambacho ni haki.