forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
523 B
Markdown
12 lines
523 B
Markdown
|
# ufalme utaimarishwa katika agano la uaminifu
|
||
|
|
||
|
Hapa "ufalme" una maana ya nguvu ya kutawala kama mfalme. Hii inaweza kuelezwa kwa hali ya kutenda. "Yahwe atakuwa mwaminifu kwa agano na atamteua mfalme"
|
||
|
|
||
|
# na mmoja kutoka katika hema la Daudi atakaa pale kwa uaminifu
|
||
|
|
||
|
Hapa "hema la Daudi" inawakilisha familia ya Daudi, ikijumlisha uzao wake. Kukaa juu ya kiti cha enzi inawakilihsa kutawala. "na uzao wa Daudi utatawala kwa uaminifu"
|
||
|
|
||
|
# atakapotafuta haki
|
||
|
|
||
|
Kutafuta haki inawakilisha kutaka kufanya kile ambacho ni haki.
|