sw_tn/isa/10/20.md

364 B

Katika siku hiyo

Hii ina maana kipindi ambacho Mungu anafanya mambo ambayo yanaelezwa katika 10:15. "Katika kipindi hicho"

ambayo imetoroka

Maana inaweza kuwekwa wazi. "ambaye ametoroka kutoka katika jeshi la Ashuru"

haitategemea tena kwa yule ambaye aliwashinda

"hatategemea tena mfalme wa Ashuru, ambaye aliwadhuru"

Mtakatifu

Mtakatifu wa Israeli