forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
314 B
Markdown
8 lines
314 B
Markdown
# Nilikwenda kwa nabii wa kike
|
|
|
|
Inaweza kuwekwa wazi ya kwamba Isaya alimuoa nabii wa kike. "Nililala na mke wangu, nabii wa kike"
|
|
|
|
# utajiri wa Dameski na nyara za Samaria zitachukuliwa na mfalme wa Ashuru
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "mfalme wa Ashuru atabeba hazina zote za Dameski na Samaria"
|