sw_tn/isa/08/03.md

314 B

Nilikwenda kwa nabii wa kike

Inaweza kuwekwa wazi ya kwamba Isaya alimuoa nabii wa kike. "Nililala na mke wangu, nabii wa kike"

utajiri wa Dameski na nyara za Samaria zitachukuliwa na mfalme wa Ashuru

Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "mfalme wa Ashuru atabeba hazina zote za Dameski na Samaria"