sw_tn/isa/08/01.md

356 B

Yahwe alisema kwangu

Hapa neno "kwangu" ina maana ya Isaya.

Nitawaita kortini mashahidi waaminifu kushuhudia kwa ajili yangu

Maana zaweza kuwa 1) Yahwe anazungumza "Nitawaita watu waaminifu kuwa mashahidi" au 2) Isaya anazungumza: "Niliwaita wanamume waaminifu kuwa mashahidi" au 3) Yahwe anamuamuru Isaya: "Waite wanamume waaminifu kuwa mashahidi"