forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
811 B
Markdown
28 lines
811 B
Markdown
# Maelezo ya Jumla
|
|
|
|
Yahwe anaendelea kumwambia Isaya kile anachotakiwa kumwambia Ahazi.
|
|
|
|
# na mkuu wa Dameski ni Resini
|
|
|
|
"na mfalme wa Dameski ni Resini, ambaye ni mtu dhaifu"
|
|
|
|
# miaka sitini na tano
|
|
|
|
miaka mitano "miaka 65"
|
|
|
|
# Efraimu atavunjwavunjwa na hatakuwa kundi la watu tena
|
|
|
|
Hapa "Efraimu" ina maana wote wa ufalme wa kaskazini wa Israeli. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "jeshi litaangamiza Efraimu, na hapatakuwa tena na watu wa Israeli"
|
|
|
|
# mkuu wa Samaria ni mwana wa Remalia
|
|
|
|
Hii ina maana Peka ni mfalme wa Samaria na Israeli yote. "mfalme wa Samaria ni Peka, ambaye n mwanamume dhaifu"
|
|
|
|
# kama hautabaki imara katika imani, hakika hautabaki salama
|
|
|
|
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Ukiendelea kuamini ndani yangu, hakika utabaki salama"
|
|
|
|
# kama hautabaki
|
|
|
|
"hadi ubaki"
|