sw_tn/isa/07/07.md

28 lines
811 B
Markdown

# Maelezo ya Jumla
Yahwe anaendelea kumwambia Isaya kile anachotakiwa kumwambia Ahazi.
# na mkuu wa Dameski ni Resini
"na mfalme wa Dameski ni Resini, ambaye ni mtu dhaifu"
# miaka sitini na tano
miaka mitano "miaka 65"
# Efraimu atavunjwavunjwa na hatakuwa kundi la watu tena
Hapa "Efraimu" ina maana wote wa ufalme wa kaskazini wa Israeli. Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "jeshi litaangamiza Efraimu, na hapatakuwa tena na watu wa Israeli"
# mkuu wa Samaria ni mwana wa Remalia
Hii ina maana Peka ni mfalme wa Samaria na Israeli yote. "mfalme wa Samaria ni Peka, ambaye n mwanamume dhaifu"
# kama hautabaki imara katika imani, hakika hautabaki salama
Hii inaweza kuelezwa katika hali ya kutenda. "Ukiendelea kuamini ndani yangu, hakika utabaki salama"
# kama hautabaki
"hadi ubaki"